Posts

Mwanamke Mmoja Regina Frednand (46) Mkazi Wa Mtaa wa Butiama kata ya sima kata ya Halmashauli ya mji Wa Bariadi amezua taharuki Baada ya kudai kuwa amejifungua Mnyama aina ya kalunguyeye DOFU MEDIA.COM Video Hii Hapa Tazama Maajabu

Image
AJABU LA DUNIA MAMA  AJIFUNGUA KALUNGUYEYE NIMESIKIA UCHUNGU KIMETOKA NA DAMU KAMA UZAZI ULIVYO     Mwanamke Mmoja Regina Frednand (46) Mkazi Wa Mtaa wa Butiama kata ya sima kata ya Halmashauli ya mji Wa Bariadi amezua taharuki Baada ya kudai kuwa amejifungua Mnyama aina ya kalunguyeye          

Ukweli wa Mrembo anayetafuta mume mtaani

Image
Together Tunawakilisha Ukweli wa Mrembo anayetafuta mume mtaani  ALHAMISI , 16TH SEP , 2021 NA MWANDISHI WETU   Mrembo Baby Nai kutoka Buza Temeke amesema anatufuta mume wa maisha wa kumuoa mwenye miaka 20 hadi 70 na kigezo chake anataka awe mstaarabu na mcha mungu. Picha ya Baby Nai akiwa na bango lake la kutafuta mume mtaani Baby Nai ameongeza kusema hii ni siku ya tano kutembea na bango la kutafuta mume mtaani pia haoni shida ya kutembea na bango hilo kwa sababu havunji sheria za nchi. Mwisho amemaliza kusema akikosa mume anayemtaka Dar es Salaam ataenda Arusha, Mwanza na Mbeya na akikosa hapo ataenda nchini Kenya na Uganda. Zaidi mtazame hapo chini kwenye video.                                      

MJAMZITO AJIFUNGUA KALUNGUYEYE SIMIYU

Image
.                            MJAMZITO AJIFUNGUA KALUNGUYEYE SIMIYU DAKIKA 60 ZILIZOPITA KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke mmoja, Regina Frednand (46) mkazi wa Mtaa wa Butiama Kata ya Sima katika Halmashuari ya Mji wa Bariadi amezua taharuki baada ya kudai kuwa amejifungua mnyama aina ya Kalunguyeye.   Jambo hilo limezua hofu na taharuki kubwa kwa wakazi wa mji wa Bariadi, baada ya mama huyo kudai kuwa amejifungua mnyama huyo badala ya binadamu kama ambAvyo imezoeleka.   Akiongea na waandishi wa habari waliofika nyumbani kwake na kukuta umati wa watu ambao walifika kushuhudia tukio hilo, mama huyo amesema kuwa tukio hilo lilitokea Jumapili ya Septemba 12, 2021.   Regina amesema kuwa, majira ya saa 1:10 asubuhi wakati akijiandaa kwenda kwenye ibada ya kwanza kanisani, ghafla alijisikia maumivu makali tumboni na ndipo akaelekea chooni kujisaidia haja ya kawaida.   “Baada ya kufika chooni huku nikiwa na maumivu makali, haja ambayo nilikuwa nikisia haikutoka… cha kushangaza nilisiki

Millard Ayo Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Baada ya Ajali ya Gari ya Wafanyakazi Wake iliyochukua Uhai wa Wawili

Image
 Millard Ayo Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Baada ya Ajali ya Gari ya Wafanyakazi Wake iliyochukua Uhai wa Wawili Udaku SpecialAug 19, 2021 Leo imekua siku ngumu sana kwangu na AyoTV Team…. tumeondokewa na Marafiki zetu wawili na mmoja ni Mfanyakazi mwenzetu Mpiga picha wa AyoTV Kanda ya Ziwa Nellyson Grigery (alievaa shati la kijani) na mwingine ni Rafiki yetu Mujitaba Yusuf (hayupo kwenye picha) waliekua wakisafiri pamoja kutoka Mwanza kuja Dar, wamepata ajali Kibaha wakiwa watatu tunamshukuru Mungu Mtu tatu ambae ni Khamis Abdallah Mwandishi wa AyoTV Kanda ya Ziwa @dullahtza (alievaa t-shirt nyekundu) amejeruhiwa na sasa anaendelea vizuri. Daima tutawakumbuka Ndugu zetu hawa, daima tutamkumbuka Nellyson kama Kijana Mchapakazi, humble sana, mwenye kujituma na mwenye nidhamu kubwa sana ya kazi na hata nje ya kazi….. A VERY SAD DAY yani, Nelly alianza kazi hapa TZA (AyoTV) miezi michache tu iliyopita lakini alileta utofauti mkubwa na mchango wake unaonekana, kazi yake ya mwisho kuchukua p
Image
  Mwananchi Habari Zaidi Kitaifa Ongezeko kodi ya majengo kupitia luku kuanza kesho THURSDAY AUGUST 19 2021           Summary Wakati ulipaji wa kodi ya majengo kupitia manunuzi ya luku ukianza kesho, Ijumaa Agosti 20, 2021 kumekuwa na ongezeko la kodi hiyo kwa viwango tofauti.    ADVERTISEMENT By Aurea Simtowe More by this Author Dar es Salaam.   Wakati ulipaji wa kodi ya majengo kupitia manunuzi ya luku ukianza kesho, Ijumaa Agosti 20, 2021 kumekuwa na ongezeko la kodi hiyo kwa viwango tofauti. Hiyo ikiwa na maana kuwa sasa walio na nyumba za kawaida ndani ya kiwanja kimoja watalipa Sh12, 000 kutoka Sh10, 000 iliyokuwa ikitozwa awali na Sh60, 000 kwa kila sakafu ya ghorofa kutoka Sh50, 000. Kwa upande wa Halmashauri za Wilaya na Miji Midogo wao pia wataguswa na ongezeko hilo licha ya wao kuwa na ahueni kwani watalipa Sh60, 000 kwa nyumba za ghorofa bila kujali idadi ya sakafu Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, Alphayo Kidata leo inaeleza

ZaidiKitaifa VIDEO: DC Handeni aonya wanaonyonya maziwa ya wake zao

Image
  Mwananchi Habari Zaidi Kitaifa VIDEO: DC Handeni aonya wanaonyonya maziwa ya wake zao WEDNESDAY AUGUST 11 2021           Mkuu wa wilaya Handeni, Siriel Mchembe Summary Imeelezwa kwamba sababu inayowafanya wanaume hao kunyonya maziwa ya wake zao wanaonyonyesha nyingine zinatokana na imani za kishirikina. ADVERTISEMENT By Rajabu Athumani More by this Author Handeni.  Wanawake wanaonyonyesha wilayani Handeni mkoani Tanga, wamemuomba Mkuu wa wilaya hiyo, Siriel Mchembe kuwasaidia kupaza sauti na kukemea wanaume wao kuacha tabia ya kuwanyonya maziwa kwasababu wanawafanya watoto wasipate maziwa ya kutosha. Ombi hilo wamelitoa leo Jumanne Agosti 10, 2021 kwa Mchembe kwenye maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji yaliyofanyika katika mji mdogo wa Mkata na kusema ana taarifa kuwa baadhi ya wanaume wamekuwa na tabia hiyo wakihusishwa na imani za kishirikina. "Niwashauri wale wanaume mnaonyonya maziwa ya wake zenu muache,mnatumia chakula cha watoto wenu na hiyo inasababisha mtoto kupata utapia