Posts

Showing posts from July 27, 2021

KUMEKUCHA RAis Samia Suluh Hasanii Apigilia Msumali Tozo Za Simu Dofu Media Jul27,2021

Image
                                                                                                                       KUMEKUCHA: Rais Samia Apigilia Msumari Tozo za Simu BabaJul 27, 2021 Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema serikali inatarajia kupokea ripoti ya kamati maalum iliyoundwa baada ya malalamiko ya wananchi juu ya sheria ya tozo za maiamala ya simu kuanza kutumiak rasmi mapema mwezi huu Julai. Akizungumza Ikulu jijini Dar es salaam, Rais Samia amesema tozo hiyo ilipitishwa kwa nia njema ya kusaidia maendeleo ya maeneo yenye changamoto nchini mbalimbali nchini ikiwemo shida ya maji, na barabara kwa sehemu za vijijini. “Hili la miamala ya simu za mikononi kutuma na kupokea fedha tulianza mfumo huu mwezi huu lakini kulikuwa na kelele nyingi kwa wananchi, na sisi kwa sababu ni serikali sikivu tulitumia kama wiki moja hivi kukusanya maoni ya wananchi, tunatarajia kupokea maoni ya kamati hii siku ya keshokutwa” amesema Rais Samia “Makato haya tuliyaweka kwa nia njema tu, n

SAMIA SULUH HASAN ATANGAZA SIKU YAKUCHANJWA

Image
                      Rais Samia kuchanjwa chanjo ya Corona, Wizara ya Afya wataja siku na saa Millard AyoJul 27, 2021 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dr. Doroth Gwajima amesema Rais Samia anatarajiwa kufanya uzinduzi wa zoezi la uchanjaji wa chanjo ya Corona Ikulu Jijini Dar es salaam July 28,2021 saa tatu asubuhi ambapo Rais Samia atachanjwa. Baada ya uzinduzi huo Wizara ya Afya itaendelea na taratibu nyingine za usambazaji wa chanjo hiyo na kutoa utaratibu wa utoaji wa chanjo katika vituo vilivyoandaliwa Mikoani.